News and Events Change View → Listing

BALOZI MATINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA UMOJA WA WENYE VIWANDA VYA BIDHAA ZA UMEME ALGERIA

Tarehe 14 Juni 2026, Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, alifanya mazungumzo na Dkt. Mohamed Khelifa, Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Viwanda vya Bidhaa za Umeme nchini Algeria (CIEL) na…

Read More

BALOZI MATINYI ATETA  NA FRATER RAZES KUHUSU UWEKEZAJI WA DAWA TANZANIA

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi,  amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Mauzo wa kampuni ya uzalishaji dawa za tiba ya Frater Razes ya Algeria,…

Read More

BALOZI MATINYI AKUTANA NA BALOZI WA TUNISIA NCHINI ALGERIA

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Tunisia nchini Algeria, Abdelijalil Ben Rabeh, mara baada ya kukutana jijini Algiers mnamo tarehe 11…

Read More

BALOZI MATINYI AKUTANA NA BALOZI WA MISRI NCHINI ALGERIA

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Misri nchini Algeria, Mhe. Abdellatif Ellayeh, mara baada ya kumtembelea ofisini kwake jijini Algiers mnamo…

Read More

BALOZI MATINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NIGER NCHINI ALGERIA

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Niger nchini Algeria, Mhe. Malam Manzo Aminou, mara baada ya kumtembelea ofisini kwake jijini Algiers mnamo…

Read More

BALOZI MATINYI AKUTANA NA BALOZI WA SUDAN NCHINI ALGERIA

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Sudan nchini Algeria, Mhe. Abdelhafiz Elawad, mara baada ya kumalizika sherehe za Siku ya Taifa la Jordan,…

Read More

Balozi Matinyi ahimiza wafanyabiashara wa Tanzania kushiriki maonesho Algiers

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, ametoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kushiriki kwenye Maonesho ya 57 ya Kimataifa ya Biashara ya Algiers (FIA) yatakayofanyika kuanzia tarehe 22…

Read More

Tanzania yaalikwa kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika 2028

Taasisi ya Maonesho ya Ufugaji wa Nyuki barani Afrika ijulikanayo kama Africa Bee Expo, imeialika Tanzania kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Tano ya Ufugaji wa Nyuki Afrika yatakayofanyika mwaka 2028 na kujumuisha…

Read More