Kampuni ya Algeria Kuwekeza Viwanda vya Korosho Tanzania
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili kuongeza zaidi faida yake katika soko la dunia.Akizungumza na Balozi wa Tanzania… Read More




