Recent News and Updates

Tanzania, Algeria kukuza ushirikiano katika sekta ya viwanda vya dawa

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Viwanda vya Dawa wa Algeria, Dkt. Wassim Kouidri, katika ofisi za wizara hiyo jijini Algiers. Mazungumzo hayo yalihusu… Read More

Kampuni ya Algeria Kuwekeza Viwanda vya Korosho Tanzania

Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili kuongeza zaidi faida yake katika soko la dunia.Akizungumza na Balozi wa Tanzania… Read More

ETDCO, Sonelgaz ya Algeria zaibua fursa za Ushirikiano katika Usafirishaji na Usambazaji Umeme

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO), Bw. Raymond Mbilinyi, ameahidi kushirikiana na Shirika la Umeme na Gesi la Algeria (SONELGAZ) katika teknolojia ya kisasa ya… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Algeria

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Algeria