Recent News and Updates

Balozi Matinyi ahimiza wafanyabiashara wa Tanzania kushiriki maonesho Algiers

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, ametoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kushiriki kwenye Maonesho ya 57 ya Kimataifa ya Biashara ya Algiers (FIA) yatakayofanyika kuanzia tarehe 22 hadi 27 Juni, 2026,… Read More

Tanzania yaalikwa kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika 2028

Taasisi ya Maonesho ya Ufugaji wa Nyuki barani Afrika ijulikanayo kama Africa Bee Expo, imeialika Tanzania kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Tano ya Ufugaji wa Nyuki Afrika yatakayofanyika mwaka 2028 na kujumuisha wafugaji wa nyuki… Read More

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ALGERIA AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KWA WAZIRI WA MAMBO YA NJE

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwasilisha nakala za hati za utambulisho  kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe. Ahmed Attaf jijini Algiers, leo tarihe  26 Mei, 2026  Balozi wa… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Algeria

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Algeria