Tanzania Mgeni Rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
Tanzania imekubali mwaliko wa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Ufugaji wa Nyuki barani Afrika yatakayofanyika jijini Algiers, Algeria, tarehe 3-6 Septemba, 2026. Akizunngumza na waandishi wa habari wa televisheni… Read More




