MAZUNGUMZO YA MHESHIMIWA BALOZI NA KAMPUNI YA KUSAFIRISHA WATALII YA GOLDEN MOMENT
Mnamo tarehe 08 Februari, 2022, Mheshimiwa Balozi Maj Gen. Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Ujumbe wa Kampuni ya “Golden Moment” ya Algeria ambayo inafanya Kazi Kusafirisha Watalii kutembelea nchi mbali mbali… Read More