MHESHIMIWA BALOZI IMAN NJALIKAI AZUNGUMZA NA RAIS WA CREA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA UCHUMI NA TANZANIA
Tarehe 19 Aprili 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Uhuishaji Uchumi nchini Algeria (CREA), Mhe. Kamal Moula, katika ofisi za… Read More




