MHE. BALOZI IMAN S. NJALIKAI ALITEMBELEA MAONESHO YA KUCHATAKA TAKA NA KUONGEZA THAMANI (REVADE) YALIYOFANYIKA JIJINI ALGIERS
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman S. Njalikai, leo tarehe 29 Novemba 2023 alitembelea Maonesho ya Kimataifa ya Kuchakata taka na Kuongeza thamani yaliyoandaliwa na Chemba ya Biashara ya Algeria… Read More