News and Resources Change View → Listing

ETDCO, Sonelgaz ya Algeria zaibua fursa za Ushirikiano katika Usafirishaji na Usambazaji Umeme

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO), Bw. Raymond Mbilinyi, ameahidi kushirikiana na Shirika la Umeme na Gesi la Algeria (SONELGAZ) katika…

Read More

Tanzania Mgeni Rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria

Tanzania imekubali mwaliko wa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonesho ya Ufugaji wa Nyuki barani Afrika yatakayofanyika jijini Algiers, Algeria, tarehe 3-6 Septemba, 2026. Akizunngumza na waandishi wa…

Read More

Sherehe za siku ya Kiswahili duniani zafana nchini Algeria

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya Kiswahili inaendelea kukua na kuenea duniani ambapo sasa inazungumzwa na watu zaidi ya milioni 200 katika nchi 14 duniani na kutumika…

Read More

Kampuni za Algeria Zageukia Tanzania Kutafuta Fursa za Biashara na Uwekezaji

Kampuni mbalimbali za Algeria zinazojishughulisha na uzalishaji wa bidhaa za viwandani na kilimo zimeonesha nia ya kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji na Tanzania kwa kutafuta wabia katika sekta…

Read More

Balozi Matinyi afanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda nchini Algeria

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika mazungumzo mafupi na Balozi wa Jamhuri ya Rwanda nchini Algeria, Mhe. Vincent Karega, wakati alipomtembelea kwenye…

Read More

Balozi Matinyi afanya mazungumzo na Balozi wa Mauritania nchini Algeria

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Mauritania nchini Algeria, Mhe. Sidi Mohamed Abdallah, mara…

Read More

BALOZI MATINYI ATETA  NA FRATER RAZES KUHUSU UWEKEZAJI WA DAWA TANZANIA

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi,  amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Mauzo wa kampuni ya uzalishaji dawa za tiba ya Frater Razes ya Algeria,…

Read More

Balozi Matinyi akabidhi hati kwa Rais wa Algeria

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare  Matinyi, amekabidhi hati za utambulisho wa kibalozi kwa Mhe. Rais Abdelmadjid Tebboune wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria katika hafla…

Read More