News and Resources Change View → Listing

MHE. BALOZI OMAR YUSSUF MZEE KATIKA SHIRIKA LA SERIKALI LA USAMBAZAJI WA UMEME NA GESI(SONELGAS)

Mheshimiwa Balozi Omar Yussuf Mzee ametembelea Vinu vya Usambazaji Umeme na Gesi  vya Shirika la  Taifa la Sonelgas ambalo linashughulika na Uzalishaji na Usambazaji wa Umeme na Gesi nchini…

Read More

Travel Advisory Note on COVID-19 in Tanzania

TRAVEL ADVISORY NOTE NO. 1 OF 23 MARCH, 2020, UPDATE OF Coronavirus Disease (COVID-19) in TanzaniaDue to an ongoing outbreak of respiratory illness caused by a novel (new) corona virus (COVID-19) that can be…

Read More

UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ALGERIA WAENDELEA KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA NCHINI ALGERIA

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria umelipa Kipaumbele suala la kutangaza Utalii wetu nchini Algeria. Katika kufanikisha Malengo hayo, Ubalozi chini ya Mheshimiwa Balozi Omar Omar Yussuf…

Read More

UBALOZI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA MAONYESHO YA KAHAWA NCHINI ALGERIA

 Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umekuwa mstari wa Mbele katika kuhakikisha kuwa Bidhaa za Kilimo za Tanzania zinapata Soko nchini Algeria. katika kuzitangaza Bidhaa hizo Ubalozi umeshiriki…

Read More

MABALOZI NA WAWAKILISHI WA JUMUIYA ZA KIMATAIFA WATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NCHINI ALGERIA

Mheshimiwa Balozi Omar Yussuf Mzee akiambatana na Mabalozi wa Nchi mbali mbali na Jumuiya za Kimataifa waliopo nchini Algeria wametembelea Kambi za Wakambizi wa Sahara Magharibi zilizopo Mkoani Tindouf nchini…

Read More

MABALOZI ZA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA SADC WAPINGA VIKALI VIKWAZO VYA KIUCHUMI DHIDI YA ZIMBAMBWE.

Katika Kusimamia Maalekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya SADC Mheshimiwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria na…

Read More

MHE. BALOZI OMAR YUSSUF MZEE AFANYA ZIARA KATIKA KIWANDA CHA AURES SOLAIRE NCHINI ALGERIA

Mheshimiwa Balozi ametembelea Kiwanda cha Kuzalisha Solar Panel cha Aures Solaire na Kuendeleza Mazungumzo na Kampuni hiyo kuhusu umhimu wa kufanya Ziara ya Kikazi nchini Tanzania Kutangaza bidhaa…

Read More

MAZUNGUMZO YA MHESHIMIWA BALOZI NA MKURUGENZI MKUU WA KIWANDA CHA AURES SOLAIRE

Mheshimiwa Balozi amekutana na Kufanya Mazungumzo na Bwana Noucer, Mwekezaji katika Sekta ya Nishati na Mmiliki wa Kiwanda cha Aures Solaire kinachoshughulika na Uzalishaji wa Vigae vya Umeme (Solar Panel).…

Read More