News and Events Change View → Listing

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ALGERIA AANGAZIA FURSA ZA MAFUNZO YA MAFUTA NA GESI NCHINI ALGERIA

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria Mhe. Iman Njalikai ametembelea Chuo Kikuu cha Ouargla na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Chuo Prof, Halilat Med Tahar pamoja na uongozi wa Chuo hicho…

Read More

BALOZI NJALIKAI AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMPUNI YA MBOLEA YA SORFERT

Februari 4, 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria Mhe. Iman Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Mbolea ya Sorfert, Bw. Maged El Tobgy makao makuu ya…

Read More

BALOZI NJALIKAI ASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONESHO YA 7 YA KIMATAIFA YA KAHAWA NA CHOCOLATE

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria Mhe. Iman Njalikai ameshiriki katika sherehe za uzinduzi wa Maonesho ya Saba (7) ya Kimataifa ya Chocolate na Kahawa (CHOCAF) yaliyofanyika jijini Oran…

Read More

MHE BALOZI IMAN S. NJALIKAI AMEMTEMBELEA BALOZI WA KWANZA WA ALGERIA NCHINI TANZANIA

Tarehe 3 Februari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alimtembelea Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Marafiki wa Mapinduzi ya Algeria, Mzee Noureddine Djoudi…

Read More

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ALGERIA, MHE. IMAN S. NJALIKAI ALIKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA CHAMA KIKONGWE NCHINI ALGERIA CHA FRONT LIBERATION MOVEMENT (FLN) MHE. ABDELKRIM BENMBAREK

Tarehe 20 Januari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman S. Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama kikongwe,  chenye ushawishi na uungwaji…

Read More

CALL FOR EXPRESSION OF INTEREST (EOI)

CALL FOR EXPRESSION OF INTEREST (EOI)Investment in Pharmaceutical Manufacturing in the United Republic of Tanzania

Read More