News and Events Change View → Listing

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ALGERIA AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KWA WAZIRI WA MAMBO YA NJE

Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwasilisha nakala za hati za utambulisho  kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe. Ahmed Attaf jijini Algiers, leo tarihe  26 Mei,…

Read More

BALOZI MATINYI AWASILI ALGERIA

Balozi Mobhare Matinyi amewasili jijini Algiers, Jumanne, tarehe 19 Mei, 2026, tayari kuanza majukumu ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria.Balozi…

Read More

BALOZI NJALIKAI AAGANA NA WAZIRI ATTAF

Tarehe 05 Mei 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alikutana kwa lengo la kumuaga Mhe.  Ahmed Attaf, Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria katika ofisi za Wizara…

Read More

Ambassador Imani Salum Njalikai Highlights Unity, Development and Tanzania–Algeria Relations

Yesterday, the Embassy of the United Republic of Tanzania in Algeria hosted a celebration at the Sheraton Hotel in Algiers to commemorate the 62nd anniversary of the Union between Tanganyika and Zanzibar,…

Read More

TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA NISHATI NA ALGERIA

Tarehe 23 Aprili 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria Mhe. Iman Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Mwenyekiti na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la umeme na gesi nchini…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI IMAN NJALIKAI AZUNGUMZA NA RAIS WA CREA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA UCHUMI NA TANZANIA

Tarehe 19 Aprili 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Uhuishaji Uchumi nchini Algeria (CREA), Mhe. Kamal…

Read More

MHE. BALOZI IMAN NJALIKAI AKUTANA NA BALOZI WA NAMIBIA NCHINI ALGERIA

Tarehe 14 Aprili, 2026. Mhe. Balozi Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Samuel Kaveto Mbambo, Balozi wa Namibia nchini Algeria kwa ajili ya kusalimiana (courtesy call).Pamoja na mambo mengine…

Read More