News and Events Change View → Listing

BALOZI MEJA JENERALI (Mst) JACOB GIDEON KINGU AAGANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ALGERIA

Mhe. Balozi Meja Jenerali (Mst) Jacob Gideon Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Diaspora wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Mhe. Ahmed Attaf katika Ofisi za Wizara…

Read More

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA ALGERIA KATIKA SEKTA YA MICHEZO

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Pindi H. Chana akiambatana na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Sanaa, Mh. Tabia M. Maulid walipata fursa ya Kukutana na…

Read More

KONGAMANO LA UWEKEZAJI NA BIASHARA AFRIKA (AFIK 9)

Ubalozi kwa Kushirikiana na  Mwakilishi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bi. Latifa Abadalla Kigoda ulishiriki katika Kongamano la Uwekezaji na Biashara Afrika (AFIC9) lililoandaliwa na Kituo cha…

Read More

MHE. BALOZI AKUTANA NA RAIS WA KAMATI ZA OLIMPIKI BARANI AFRRIKA BW. MUSTAPHA BERRAF

Mhe. Balozi Mej. Jen. (Mst) Jacob Kingu alimtembelea Rais wa Kamati za Olimpiki Barani Afrika (ANOCA) Bw. Mustapha Berraf katika Ofisi zake jijini Algiers tarehe 16 April, 2023. Viongozi hao walizungumzia…

Read More

BALOZI MEJA JENERALI (Mst) AKUTANA NA BALOZI WA GHANA NCHINI ALGERIA

Mhe. Balozi Mej. Jen. (Mst), Jacob Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa Ghana nchini Algeria, Mhe. Yaw Sidney Bimpong Ubalozini, Jijini Algiers. tarehe 18 April, 2022.Sambamba na hilo, Viongozi…

Read More

TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE TWIGA STAR NA UNDER TWENTY TANZANITE ZATUA NCHINI ALGERIA KWA AJILI YA MICHEZO YA KIRAFIKI

Ubalozi uliipokea Timu ya Taifa ya Wanawake ya Twiga Star na ile ya Under Twenty ambazo ziliwasili Jijini Algiers tarehe 8 na tarehe 9 kwa ajili Mechi za Kirafiki. Mhe. Balozi Mej. Jen. (Mst) Jacob Kingu…

Read More