News and Events Change View → Listing

MHESHIMIWA BALOZI AFANYA MAZUNGUMZO NA CDA WA UBALOZI WA BURUNDI NCHINI ALGERIA

Mhe. Balozi Mej Jen. (Mst) Jacob Gideon Kingu alifanya Mazungumzo na Kaimu Balozi wa Burundi Bi. Nadine MUHIMPUNDU katika Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Algiers.Kupitia kikao hicho,…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NORWAY NCHINI ALGERIA

Mhe. Mej Jen. (Mst) Jacob Gideon Kingu alifanya Mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Algeria, Bibi  Therese Gheziel katika Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Algiers. Viongozi hao…

Read More

UBALOZI UMETEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA UZALISHAJI WA NISHATI JADIDIFU ULIOJENGWA NA KAMPUNI YA AMENHYD

 Mheshimiwa Balozi na kushoto mwake ni Mhandisi Abdelmalik kutoka Kampuni ya AMENHYD, akitembelea mradi wa Maji Taka wenye ukubwa wa ekari 22 uliopo kando ya Jiji la Algiers. Dampo hilo limegeuzwa kuwa…

Read More

UBALOZI WAKUTANA NA WAWEKEZAJI NA WAKANDARASI WA ALGERIA KATIKA MAONESHO YA UJENZI NA VIFAA YA BATIMEX MKOANI ANNABA

Ubalozi ukifanya Wasilisho la Fursa za Uwekezaji nchini Tanzania kwenye Kikao cha B2B na Wawekezaji na Wakandarasi wa Ujenzi. Pichani kulia mwa Mhe. Balozi ni Waziri wa Biashara Mstaafu wa Algeria, Mhe. Said…

Read More

MAZUNGUMZO NA KAMPUNI YA DAWA YA HIKMA

Mhe. Balozi Mej Jen. (Mst) Jacob Kingu alifanya Mazungumzo na Meneja wa Maendeleo ya Biashara  wa Afrika  Kaskazini kutoka Kampuni ya HIKMA, Bibi Sihem SAADA alipomtembelea Ubalozini Jijini Algiers…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI MEJA JENERALI (Mst) Jacob Kingu akutana na Balozi wa Nigeria Nchini Algeria

Mhe. Balozi Mej. Jen (Mst) Jacob Kingu katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Aysha Garba wa Nigeria nchini Algeria alipokutana Ubalozini kwao na Kufanya Mazungumzo na Kubadilishana Uzoefu katika Diplomasia…

Read More