News and Events Change View → Listing

M. Iman S. Njalikai, Ambassadeur de Tanzanie en Algérie : «Nous serons présents à l’IATF-2025»

Entretien réalisé par Samia BoulahlibEn marge de la 4e Foire commerciale intra-africaine (IATF-2025), prévue à Alger du 4 au 10 septembre, l’ambassadeur de la République-Unie de Tanzanie en Algérie,…

Read More

BALOZI NJALIKAI ATETA NA MKURUGENZI WA AFRIKA WA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA ALGERIA

Leo tarehe 06 Agosti 2025, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Afrika ya Wizara ya Mambo ya Nje ya…

Read More

BALOZI NJALIKAI AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA TANZANIA (TAKUKURU)

Tarehe 23 Julai, 2025 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alimpokea Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU), Bw.  Crispin Francis…

Read More

MIRADI YA UMEME VIJIJINI YAING’ARISHA TANZANIA KIMATAIFA

*📌REA yapongezwa kwa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia**📌Tanzania, Algeria kuimarisha ushirikiano katika miradi ya umeme* Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Imani Njalikai…

Read More

MAZUNGUMZO YA MHE. BALOZI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI

Tarehe 14 Julai 2025, Mhe. Balozi Iman Njalikai alimpokea Mhe. Geophrey Mizengo Pinda (MB),  Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Houari Boumedienne…

Read More

ALGERIA NA TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA UTALII

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai amewataka wadau wa utalii wa Algeria kuendelea kuongeza kasi ya kupeleka watalii nchini Tanzania ili kupata fursa ya kujionea…

Read More

UJUMBE WA WAKALA WA NISHATI VIJIJINI (REA) NCHINI ALGERIA

Tarehe 11 Julai 2025, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alipokea ujumbe wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ukiongozwa na Mkurugenzi wa Bodi, Balozi Mstaafu Maj. Jen.…

Read More