News and Events Change View → Listing

MAONESHO YA KIMATAIFA YA UJENZI (BATIMEX)

Tarehe 20 Oktoba 2025, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alipokea mwaliko kutoka kwa Bi. Ghoufrane Bourtal Zarat, Meneja wa Mipango wa Kampuni ya EURI Elevent Event…

Read More

MKUTANO WA MABALOZI WA NCHI WANACHAMA WA SADC WENYE UWAKILISHI NCHINI ALGERIA

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, tarehe 09 Oktoba 2025, uliandaa mkutano wa kila mwezi wa nchi wanachama wa SADC zenye uwakilishi nchini Algeria. Mkutano huo, umeendelea kuwa…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AZUNGUMZA NA DKT. SHARON REYES KUHUSU BIASHARA YA MAZAO YA KILIMO KUTOKA TANZANIA KWA AJILI YA SOKO LA ALGERIA

Tarehe 05 Oktoba 2025, Mhe. Balozi Njalikai katika ofisi za Ubalozi jijini Algiers alikutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa  Kampuni ya "Cultivate Africa", Dkt. Sharon Reyes mtaalamu wa kilimo…

Read More

MAZUNGUMZO KATI YA MHESHIMIWA BALOZI NJALIKAI NA MKURUGENZI WA IDARA YA AFRIKA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE - ALGERIA  

Tarehe 26 Sepetemba 2025, Mhe. Iman Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Boualem Chebihi, Mkurugenzi wa Idara ya Afrika ya Wizara ya Mambo…

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUENDELEZA USHIRIKIANO WA NISHATI YA UMEME

Tarehe 24 Septemba 2025, Mhe. Iman Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria alifanya mazungumzo na Bw. Djilani Kobibi Bachir, Naibu Mwenyekiti wa Umoja wa Viwanda vya Uzalishaji wa…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI ATEMBELEA VIWANDA VYA KARATASI VYA KAMPUNI YA HILAL

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ageria Mhe. Iman Salum Njalikai alitembelea viwanda vya karatasi na madaftari vya kampuni ya Hilal vilivyopo jijini Algiers tarehe 22 Septemba 2025.Ziara hiyo…

Read More

TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA ALGERIA KATIKA UZALISHAJI WA DAWA BIDHAA NYINGINE ZA AFYA

Kupitia ushiriki wa Ujumbe wa Tanzania kwenye maonesho ya IATF2025 yanayoendelea nchini Algeria, Mhe. Balozi Iman Njalikai alipata fursa ya kufanya mazungumzo na Mhe. Wassim Kouidri, Waziri wa Viwanda vya Dawa…

Read More

PURA KUTAFUTA FURSA ZA USHIRIKIANO NA SONATRACH

Katika muendelezo wa ushiriki wa Tanzania kwenye IATF2025, Mhe. Balozi Iman Njalikai pamoja na Ujumbe wa PURA walipata nafasi ya kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mafuta la Serikali (Sonatrach) Bw…

Read More