News and Events Change View → Listing

RAIS MSTAAFU KIKWETE AWASILISHA UJUMBE WA RAIS SAMIA NCHINI ALGERIA

Tarehe 25 Machi 2025, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na ujumbe wake aliwasili nchini Algeria kwa lengo la kuwasilisha ujumbe maalum kutoka kwa Mhe. Dkt.…

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA AFYA

Tarehe 17 Machi 2025, Mhe. Balozi Iman Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Abdelhaki Saihi, Waziri wa Afya wa Algeria katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Algiers. Mhe. Balozi alitumia fursa hiyo…

Read More

MHE. BALOZI NJALIKAI AWAPOKEA MABALOZI WA NCHI ZA SADC

Leo tarehe 6 Machi 2025, Mhe. Balozi Njalikai amewapokea Mabalozi wa nchi za SADC katika ofisi za Ubalozi kwa ajili ya Kikao cha kawaida cha Umoja wa Mabalozi wa Nchi za SADC.Kikao hicho ni sehemu ya…

Read More

CHUO KIKUU CHA UDSM KUSHIRIKIANA NA VYUO VIKUU VYA ALGIERS 2 NA 3 VYA ALGERIA

Balozi Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam chini ya Prof. Nelson Boniface, Naibu Makamu wa Chuo anayeshughulikia tafiti.Mazungumzo hayo yaliyofanyika leo tarehe…

Read More

TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MAURITANIA KIUCHUMI

Leo tarehe 10 Januari 2025, Mhe. Balozi Iman Salum Njalikai amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara Ulaya, Mhe. Mohammad Amine Mohamade Bachir na Mkurugenzi Msaidizi wa Afrika, Mhe. Mohamad Youcef kutoka…

Read More

INSPEKTA JENERALI WA POLISI KAMANDA CAMILLUS WAMBURA AWASILI JIJINI ALGIERS

Inspekta Jenerali wa Polisi, Kamanda Camillus Wambura amewasili leo tarehe 28 Oktoba 2024, jijini Algiers, Algeria. kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa AFRIPOL unaotarajiwa kufanyika Tarehe 29¬30 Oktoba 2024.…

Read More

TANZANIA NA ALGERIA ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KWENYE ENEO LA UTUNZAJI KUMBUKUMBU NA NYARAKA MUHIMU

Tanzania na Algeria zakubaliana kuimarisha ushirikiano kwenye eneo la utunzaji kumbukumbu na nyaraka muhimu. Makubaliano hayo, yalikuwa sehemu ya Mazungumzo ya tarehe 28 Oktoba, 2024, kati ya Mhe. Balozi…

Read More

WANAFUNZI WAPYA WA TANZANIA WAWASILI NCHINI ALGERIA

Wanafunzi wapya wa Tanzania waliowasili nchini Algeria kwa ajili ya Mhula wa Masomo wa 2024\2025 wameaswa kutumia vema fursa hiyo adhimu kwa kufanya juhudi katika masomo na kuzingatia taratibu na sheria za…

Read More