News and Events Change View → Listing

ALGERIA NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KWENYE KILIMO

Algeria ipo tayari kushirikiana na Tanzania katika kuimarisha sekta ya kilimo hususan katika eneo la umwagiliaji, uzalishaji wa mbegu bora, matumizi ya teknolojia, uongezaji thamani wa mazao ya kilimo, tafiti…

Read More

MHE. BALOZI IMAN S. NJALIKAI ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ASMIDAL JIJINI ANNABA

Katika juhudi za kuendeleza ushirikiano na Algeria katika sekta ya kilimo, Mhe. Balozi Iman S. Njalikai ametembelea kiwanda cha Serikali cha Mbolea cha ASMIDAL kilichopo Jijini Annaba. katika ziara yake hiyo,…

Read More

MHE. BALOZI IMAN S. NJALIKAI AKISHIKIRIKI KATIKA MAONESHO YA KITAMATAIFA YA KILIMO JIJINI ANNABA

Mhe. Balozi Njalikai leo tarehe 8 Oct, 2024 ameungana na Mabalozi mbalimbali wa Afrika katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya AGRITECH yanayofanyika Jijini Annaba nchini Algeria.Aidha, Mhe. alifanya vikao…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI IMAN SALUM NJALIKAI AKUTANA NA BALOZI WA AFRIKA KUSINI NCHINI ALGERIA

Mhe. Balozi Njalikai akutana na Mhe. Balozi Ndumiso NTSHINGA Balozi wa Afrika Kusini nchini Algeria kwa ajili ya kusalimiana (courtesy call) na kujadili masuala ya ushirikiano wa uwili, kikanda na kimataifa…

Read More

Ziara ya Mheshimiwa Balozi katika Chuo Kikuu cha Algiers 3

Mheshimiwa Balozi Iman Salum Njalikai,Balozi wa Tanzania nchini Algeria leo tarehe 30 Septemba, 2024 amekutana kufanya Mazungumzo na Prof. Khalid Rouaski, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Algiers 3 nchini Algeria.Kwa…

Read More

KIKAO CHA MHESHMIWA BALOZI IMAN NJALIKAI NA MRATIBU WA ” AFRICA REAL ESTATE INOVATION SUMMIT”

Mheshiwa Iman Njalika Balozi wa Tanzania nchini Algeria, amekutana na kufanya Mazungumzo na Bw. Naserdine Boutera Mratibu Mkuu wa mkutanao wa ARIS (AFRICA REAL ESTATE INOVATION SUMMIT) katika ofisi za Ubalozi…

Read More

kIKAO CHA BALOZI NA MKURUGENZI MKUU WA AFRIKA

Mhe. Balozi Iman S. Njalikai  leo tarehe 3 Sept 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Afrika   Bw. Khelifi Abdelnour katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje Jijini…

Read More

Mhe. Balozi Njalikai akutana na Rais wa Shirikisho la Wenye Viwanda nchini Algeria

Mhe. Balozi  Iman S. Njalikai  akizungumza  na Dr. Harkati Hatem, Rais wa Shirikisho la wenye Viwanda nchini Algeria katika ofisi za Ubalozi jijini Algiers.Kwa pamoja wamekubaliana…

Read More