News and Events Change View → Listing

BALOZI IMAN SALUM NJALIKAI AKUTANA NA MEJA JENERALI IBRAHIM MICHAEL MHONA MKUU WA OPERESHENI NA MAFUNZO KUTOKA JWTZ

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai alikutana na Kufanya mazungumzo na Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa JWTZ, Meja Jenerali Ibrahim Michael  Mhona katika…

Read More

MHE. BALOZI IMAN SALUM NJALIKAI AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA JAJI IMAN ABOUD

Mhe. Balozi Iman S. Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mahakama ya Afrika , Jaji Iman Aboud ambaye yupo ziarani kikazi nchini Algeria. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi za Ubalozi…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AKIFANYA MAZUNGUMZO NA WAWEKEZAJI WA KAMPUNI MBALI MBALI ZA SEKTA YA NISHATI KWENYE MAONESHO YA NAPEC MKOANI ORAN

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman S. Njalikai alishiriki katika Ufunguzi wa Mkutano na Maoenosho ya Nishati ya Afrika ya Kaskazini (NAPEC) na kukutana na Wawekezaji muhimu wa…

Read More

Kikao cha Mhe. Balozi Mteule Iman S. Njalikai na Rais Wa Kituo cha Uwekezaji na Maendeleo cha Waarabu wa Afrika

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman S. Njalikai alifanya mazungumzo na Rais wa Kituo cha Uwekezaji na Maendeleo cha Waarabu wa Afrika (CAAID), Dkt Amine Boutalbi katika…

Read More

Mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba na Waziri wa Nishati wa Algeria Mhe. Mohamed Arkab

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe January Y. Makamba ambaye yupo kwenye Ziara ya Kikazi nchini Algeria amekutana na Kufanya Mazungumzo na Waziri wa Nishati wa Algeria, Mhe. Mohamed…

Read More

Waziri Makamba Awasili Algeria Kushiriki Mkutano wa 20 wa Mawaziri Wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Nordic

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Y. Makamba (Mb.), amewasili nchini Algeria kushiriki Mkutano wa 20 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Nordic utakaofanyika…

Read More