Mhe. Balozi Iman S. Njalikai alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mahakama ya Afrika , Jaji Iman Aboud ambaye yupo ziarani kikazi nchini Algeria. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi za Ubalozi jijini Algiers tarehe 19 Novemba 2023.
Get all latest updates from the Embassy in Your Inbox