Mhe. Balozi Mej Jen. (Mst) Jacob Kingu akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Dkt. Panduleni Shingenge wa Namibia na Amidi wa Mabalozi wa Afrika walioko Algiers, walipokutana Ubalozini kwao kwa Mazungumzo ya Kidiplomasia tarehe 25 Januari, 2023