Mheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu akiwa katika Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Algeria Mheshimiwa Kamel BELJOUD.
Katika Mazungumzo hayo, Viongozi hao wamejadili kwa pamoja Umuhimu wa Kubadilishana Uzoefu katika Usalama wa Raia, Kukabiliana na Majanga pamoja na Kupambana na Ugaidi.
MHESHIMIWA BALOZI AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA ALGERIA
Mheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu akiwa katika Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Algeria Mheshimiwa Kamel BELJOUD.
