Ziara ya Ujumbe wa TMDA nchini Algeria

Mhe. Balozi na Ujumbe wa Maafisa Waandamizi kutoka TMDA walitembelea Maabara ya Sophal ya Kuzalisha dawa za Magonjwa mbali mbali iliyopo Mkoani Oran.tarehe 23 Oktoba, 2022.

Read More

MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII JIJINI ALGIERS 29 SEPTEMBA 2022

Ubalozi ulishiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Jijini Algiers ikiwa ni sehemu ya Juhudi za Kutangaza Diplomasia ya Uchumi katika Sekta ya Utalii. Maonesho hayo yalihudhuriwa pia na Mawakala wa…

Read More

MKUTANO WA MHE. BALOZI NA MWENYEKITI WA KAMPUNI YA SOPHAL

Mhe. Balozi Maj Gen (Mst) Jacob Gideon Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya SOPHAL  Mkoani Oran. Kampuni ya SOPHAL ilishafika Tanzania mwezi Julai 2022 na Kukutana na Mamlaka…

Read More

ZIARA YA MHESHIMIWA BALOZI KATIKA MAABARA YA ONCOLOGY YA ORION LAB

Mhe. Balozi Maj Gen (Mst) alitembelea Maabara ya Orion Lab ya  Kuzalisha dawa za Kutibu Ugonjwa wa  Kansa iliyopo Mkoani Oran. Awali Mheshimiwa Balozi alitembelea Maabara hiyo mwezi Novemba, 2021…

Read More

Mheshimiwa Balozi akiwa katika Ziara ya Kikazi ya katika Complex ya TOSYALI ALGERIE

Mhe. Balozi Maj Gen (Mst) Jacob Gideon Kingu alifanya Ziara ya Kakazi Mkoani Oran na Kutemblea Complex ya TOSYALI. Complex hiyo ni Uwekezaji wa Kampuni ya Kituriki  ambayo imejikita katika Utengenezaji wa…

Read More

Job vacancy

L'AMBASSADE DE LA REPUBLIQUE UNIE DE TANZANIE EN ALGERIE OFFRES D'EMPLOIS POUR UNE POSTE CONTRACTUEL:SURVEILLANTE DE BUREAU (1 poste)LES QUALIFICATIONS :-Age: de 25 ansAvoir une expérience de 5…

Read More

OFFRES D’EMPLOIS

Read More

ANNONCE DE TRAVAIL

Read More