Mheshimiwa Waziriwa Nishati January Yussuf Makamba (Mb) Akisalimiana na Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Fedha wa Algeria katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Algiers Tarehe 28 Oktoba, 2021

Mheshimiwa Wazirina Ujumbe wake, walipowasili Nchini AlgeriaTarehe 27 Oktoba, 2021 kwa Ziara ya Kikazi, na kupokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Dawati la Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Diaspora Ughaibuni, Balozi  Saad Mandi aliyekuwa amefuatana na Mkurugenzi wa Mashirikiano ya Nje kutoka Wizara ya Nishati. Kulia ni Mheshimiwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Algeria, Meja Jenerali Jacob G. Kingu .                     

Mheshimi wa Waziri na Ujumbe wake, wakiwa katika Kikao Kazi na Waziri wa Nishati wa Algeria, Mheshimiwa Mohamed Arkab Aliyekuwa Amefuatana na Watendaji Wakuu wa Wizara ya Nishati kutoka Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watuwa  Algeria, Kilichofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2021

  • Mheshimiwa Waziri Akiwa katika Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Diaspora Ughaibuni wa Algeria, Mheshimiwa Ramtane Lamamra katika Ofisi za Wizara hiyo Tarehe 28 Oktoba, 2021.
  • Mheshimiwa Waziri wa Nishati Akizungumza na Vyombo vya Habari vya Algeria kuhusu Ziara yake ya Kikazi Nchini humo baada ya Kuhitimisha Mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Mheshimiwa Ramtane Lammra
  • Mheshimiwa Waziri na Ujumbe wake, wakiwa katika Kikao Kazi na Waziri wa Nishati wa Algeria, Mheshimiwa Mohamed Arkab Aliyekuwa Amefuatana na Watendaji Wakuu wa Wizara ya Nishati kutoka Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Kilichofanyika Tarehe 28 Oktoba, 2021
  • Mheshimiwa Waziri Alipotembelea Mtambo wa Kusafisha Mafuta (Refinery) uliyopo Baraki Jijini Algiers. Pichani, Mheshimiwa Waziri Akikagua Sampuli mbalimbali za Mafuta yaliyochakatwa katika Maabara za Mtambo huo