Kikao cha Mhe Balozi na wanafunzi wa Tanzania wasomao mkoa wa Tlemcen Algeria
Mhe Balozi Maj Gen Kingu akiwa katika kikao na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyoko Mkoa wa Tlemcen, tarehe 10.10.2020.
Read MoreMhe Balozi Maj Gen Kingu akiwa katika kikao na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyoko Mkoa wa Tlemcen, tarehe 10.10.2020.
Read MoreMhe Balozi Gen Kingu akiwa katika Kikao na Picha ya pamoja na Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika Vyuo Vikuu vilivyoko Mkoa wa Boumedes, tarehe 08.10.2020
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu amekabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Balozi wa Msumbiji nchini Algeria Mheshimiwa Carvalho Muaria. Hafla hiyo fupi imefanyika katika Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa…
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu akitoa Salamu za pole kwa Balozi wa Kuwait nchini Algeria Mheshimiwa Saoud El Faycal Kufuatia Kifo cha Amiri wa Kuwait Marehemu Sabah Al-Ahmad Al-Jabir Al-Sabah…
Read MoreKatika ziara yake Mheshimiwa Balozi Mej. Gen Jacob Gideon Kingu, Mkoani Constantine amekutana na Katibu wa Shirikisho la Taifa la Wamiliki wa Hoteli Bwana Abdelouhab Boulfekhad ambae pia ni Mmiliki wa…
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu amekutana na Kufanya Mazungumzo na Kampuni ya Nishati ya Euroferima yenye Makao Makuu yake Mkaoni Blida nchini Algeria. katika Mazungumzo hayo, Mheshimiwa Balozi…
Read MoreBalozi wa Tanzania Nchini Algeria, Mhe. Maj. Gen. Jacob Gideon akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Mhe. Abdelmadjid Tebboune. Sherehe hizo zilifanyika…
Read MoreMheshimiwa Balozi amekutana na Kufanya Mazungumzo na Wanadiaspora wanaoishi nchini Algeria. Katika Mkutano huo, Mheshimiwa Balozi amewaeleza Wanadiaspora namna Tanzani invyopiga hatua Kimaendeleo, huduma za…
Read More