Kikao cha Mhe Balozi na wanafunzi wa Tanzania mkoa wa Oran Algeria.
Mhe Balozi Maj Gen Kingu akiwa katika kikao na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyoko Mkoa wa Oran,tarehe 11.10.2020.
Read MoreMhe Balozi Maj Gen Kingu akiwa katika kikao na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyoko Mkoa wa Oran,tarehe 11.10.2020.
Read MoreMhe Balozi Gen Kingu akiwa katika Kikao cha Kutangaza Utalii wa Tanzania alipokutana tarehe 11.10.2020 na Bwana Mazouz, Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya Low Cost iliyoko Mkoa wa Oran, ambayo inayoshughulika na…
Read MoreMkutano wa Mheshimiwa Balozi na Rais wa Shirikisho la Wafanyabiashara nchini Algeria Elhamel Mernis na Mkurugenzi wa Hoteli ya Hocine. Katika Mkutano huo, Mheshimiwa Balozi amewaeleza Viongozi hao…
Read MoreMhe Balozi Maj Gen Kingu akiwa katika kikao na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyoko Mkoa wa Tlemcen, tarehe 10.10.2020.
Read MoreMhe Balozi Gen Kingu akiwa katika Kikao na Picha ya pamoja na Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika Vyuo Vikuu vilivyoko Mkoa wa Boumedes, tarehe 08.10.2020
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu amekabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Balozi wa Msumbiji nchini Algeria Mheshimiwa Carvalho Muaria. Hafla hiyo fupi imefanyika katika Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa…
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu akitoa Salamu za pole kwa Balozi wa Kuwait nchini Algeria Mheshimiwa Saoud El Faycal Kufuatia Kifo cha Amiri wa Kuwait Marehemu Sabah Al-Ahmad Al-Jabir Al-Sabah…
Read MoreKatika ziara yake Mheshimiwa Balozi Mej. Gen Jacob Gideon Kingu, Mkoani Constantine amekutana na Katibu wa Shirikisho la Taifa la Wamiliki wa Hoteli Bwana Abdelouhab Boulfekhad ambae pia ni Mmiliki wa…
Read More