News and Resources Change View → Listing

TANZANIA KUIMARISHA MASHIRIKIANO YA KIMICHEZO NA ALGERIA

Mheshimiwa Balozi Maj Gen. Jacob G. Kingu amemtembelea Rais wa Kamati za Olimpic Barani Afrika (ACNOA) Mheshimiwa Moustapha Berraf katika Ofisi yake iliyopo Mjini Algiers. Katika Mazungumzo yao Mheshimiwa…

Read More

TRAVEL ADVISORY

The Government of the United Republic of Tanzania has been instituting various preventive measures with a goal to limit the spread of corona virus in the country. After reviewing the current situation of…

Read More

JPM: No Looming Changes In RCs, DCs Positions

President John Magufuli has assured Regional Commissioners and District commissioners that he has no plans of doing any changes in their posts, hence, they work hard.Speaking in an event of swearing-in the…

Read More

KIKAO CHA MHE. BALOZI NA WAZIRI WA BIASHARA WA ALGERIA KATIKA KUIMARISHA MASHIRIKIANO YA KIUCHUMI

Katika Kuendeleza na Kukuza Mashirikiano ya Kiuchumi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa  Algeria, Mheshimiwa Balozi Mag Gen. Jacob G. Kingu amekutana na Kufanya Mazungumzo na  Waziri wa…

Read More

KIKAO CHA MHE. BALOZI NA WANAFUNZI WA MKOA WA CONSTANTINE NCHINI ALGERIA

Pamoja na Juhudi za Kuimarisha Mashirikiano ya Kidiplomasia ya Uchumi, Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria umelipa Kipaumbele Suala la Kuhamisha Maarifa na Teknolojia kwenda Tanzania.…

Read More

Kikao cha Mhe Balozi na wanafunzi wa Tanzania mkoa wa Annaba,  Algeria

Mhe Balozi Gen Kingu akiwa katika Kikao na Picha ya pamoja na Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma katika Vyuo Vikuu vilivyoko Mkoa wa Annaba, Algeria mnamo tarehe 27.09.2020.

Read More

MAZUNGUMZO KATI YA MHE.BALOZI MAJ GEN. JACOB G. KINGU NA BALOZI WA CHINA NCHINI ALGERIA

Mnamo tarehe 22 Oktoba , 2020 Mheshimiwa Balozi Maj Gen JACOB G.Kingu amekutana na Mheshimiwa. Li Lianhe Balozi wa China nchini Algeria kwa ya Kubadilishana Uzoefu Juu ya masuala mbalimbali yanayouhusu nchi…

Read More

Balozi wa Ethiopia nchini Algeria, Mhe. Assegid Nebiat Getachew amemtembelea Balozi wa Tanzania

Mnamo tarehe 13 Oktoba, 2020 Balozi wa Ethiopia nchini Algeria, Mheshimiwa Assegid Nebiat Getachew amemtembelea Balozi wa Tanzania nchini Algeria Mheshimiwa Mej Gen. Jacob G. Kingu katika Ofisi za Ubalozi wa…

Read More