OFFICIAL TRAVEL ADVISORY
Read More
Mhe. Iman S. Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, alikutana na kufanya mazungumzo na Dkt. Phanuel Habimana, Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Algeria…
Read MoreTarehe 20 Oktoba 2025, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alipokea mwaliko kutoka kwa Bi. Ghoufrane Bourtal Zarat, Meneja wa Mipango wa Kampuni ya EURI Elevent Event…
Read MoreUbalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, tarehe 09 Oktoba 2025, uliandaa mkutano wa kila mwezi wa nchi wanachama wa SADC zenye uwakilishi nchini Algeria. Mkutano huo, umeendelea kuwa…
Read MoreTarehe 05 Oktoba 2025, Mhe. Balozi Njalikai katika ofisi za Ubalozi jijini Algiers alikutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kampuni ya "Cultivate Africa", Dkt. Sharon Reyes mtaalamu wa kilimo…
Read MoreTarehe 26 Sepetemba 2025, Mhe. Iman Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Boualem Chebihi, Mkurugenzi wa Idara ya Afrika ya Wizara ya Mambo…
Read MoreTarehe 24 Septemba 2025, Mhe. Iman Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria alifanya mazungumzo na Bw. Djilani Kobibi Bachir, Naibu Mwenyekiti wa Umoja wa Viwanda vya Uzalishaji wa…
Read More