News and Resources Change View → Listing

MHE. BALOZI NJALIKAI ATEMBELEA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAMPUNI YA GISB ELECTRIC

Tarehe 9 Novemba 2025 Mhe. Iman Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, alitembelea na kufanya Mazungumzo na Kampuni ya GISB Electric iliyopo Mkoani Mostaganeme Nchini Algeria.…

Read More

TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA ALGERIA KWENYE ENEO LA UVUVI

Tarehe 6 Novemba 2025, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai aliungana na Mabalozi wa Nchi mbalimbali na Viongozi wa Serikali katika Ufunguzi wa Maonesho ya 10 ya…

Read More

KAMPUNI YA S.P.A TAYAL KUANGAZIA FURSA ZA KIBIASHARA NCHINI TANZANIA

Tarehe 5 Novemba 2025, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai alitembelea kiwanda cha Nguo cha S.P.A Tayal kilichopo mkoani Ghelizani nchini Algeria. S.P.A Tayal ni moja…

Read More

MHE BALOZI IMAN NJALIKAI AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAAZI WA WHO NCHINI ALGERIA

Mhe. Iman S. Njalikai, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, alikutana na kufanya mazungumzo na Dkt. Phanuel Habimana, Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Algeria…

Read More