News and Resources Change View → Listing

MHESHIMIWA BALOZI MEJA JENERALI (Mst) Jacob Kingu akutana na Balozi wa Nigeria Nchini Algeria

Mhe. Balozi Mej. Jen (Mst) Jacob Kingu katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Aysha Garba wa Nigeria nchini Algeria alipokutana Ubalozini kwao na Kufanya Mazungumzo na Kubadilishana Uzoefu katika Diplomasia…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AKUTANA NA BALOZI WA NAMIBIA NA AMIDI WA MABALOZI WA AFRIKA WALIOKO ALGIERS

Mhe. Balozi Mej Jen. (Mst) Jacob Kingu akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Dkt. Panduleni Shingenge wa Namibia na Amidi wa Mabalozi wa Afrika walioko Algiers, walipokutana Ubalozini kwao kwa Mazungumzo ya…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AKUTANA NA BALOZI WA ETHIOPIA NCHINI ALGERIA

Mhe Balozi Mej. Jen (Mst) Jacob Kingu akiwa katika picha ya pamoja na Mhe Balozi Assegid wa Ethiopia nchini Algeria alipomtembelea na kufanya Mazungumzo ya Mashirikiano katika Ofisi za Ubalozi wao jijini…

Read More

WAFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA WATAFUTA FURSA ZA MASHIRIKIANO YA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI ALGERIA

Ubalozi ulipokea Ujumbe wa Wafanyabiashara wa Kitanzania kutoka Kampuni ya ATN Petroleum ya Tanzania Bw. Abdelatif T. Nahdi na Bw. Mohammed Khelef Mohammed Shein ambao walifika Ubalozini kwa ajili ya…

Read More

WAHITIMU WA KITANZANIA WA SHAHADA YA KWANZA YA UDAKTARI WATUNIKIWA VYETI KATIKA CHUO KIKUU CHA ALGIERS - 1

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliungana na  Wazazi katika Mahafali ya Wahitimu wa Shahada ya kwanza ya Udaktari iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa CIC jijini Algiers…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AKUTANA NA RAIS WA TFF

Mheshimiwa Balozi Mej Jen. (Mst) Jacob Gideon Kingu alikutana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini Tanzania (TFF) Bw. Wallace J. Karia katika Ofisi za Ubalozi Jijini Algiers. Bw. Wallace alikuwepo…

Read More

MHESHIMIWA BALOZI AKUTANA NA MKUU WA IDARA YA USAFIRISHAJI DAWA WA KAMPUNI YA SAIDAL Dr.  LYDIA AZEM

Mhe. Balozi alikutana na Mkuu wa Idara ya Usafirishaji wa Dawa wa Kampuni ya Serikali ya SAIDAL, Dr. Lydia Azem ambaye alifika Ubalozini. Bi. Lydia alimueleza Mhe. Balozi kuwa mbali na Uzalishaji wa Chanjo,…

Read More