Mheshimiwa Balozi atembelea Hospitali ya Chahid Mahmoudi
Mheshimiwa Balozi akitembelea Hospitali ya Chahid Mahmoudi katika mkoa wa Tiziouzou. Tarehe 14 Juni, 2022.
Read MoreMheshimiwa Balozi akitembelea Hospitali ya Chahid Mahmoudi katika mkoa wa Tiziouzou. Tarehe 14 Juni, 2022.
Read MoreMheshimiwa Balozi alipotembelea Kampuni ya Amenhyd inayoshughulika na utengenezaji wa Mitambo ya Kusafisha Maji Taka katika Maonesho ya Utunzaji wa Mazingira mjini Algiers. Tarehe 20 Juni, 2022
Read MorePicha ya pamoja ya Mheshimiwa Balozi akiwa na Mheshimiwa Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Dr. ASHATU KIJAJI pamoja na Delegation ya Wafanyabiashara kutoka Algeria katika viwanja vya…
Read MoreMnamo tarehe 08 Februari, 2022, Mheshimiwa Balozi Maj Gen. Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Ujumbe wa Kampuni ya “Golden Moment” ya Algeria ambayo inafanya Kazi Kusafirisha Watalii kutembelea…
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa SAIDAL, Bibi Fatoum Akacem. SAIDAL ni Kiwanda cha Serikali cha Uzalishaji wa Dawa za Binadamu pamoja na Chanjo ya…
Read MoreMheshimiwa Balozi Maj Gen. Kingu alishiriki katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji Algiers lililoandaliwa na Kituo cha Maendeleo ya Uwekezaji cha Waarabu wa Afrika.Kongamano hilo lilijumuisha Wadau Masuala…
Read MoreMnamo tarehe 18 Januari, Mheshimiwa Balozi alikutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu Mpya wa Shirika la Gesi na Umeme la Algeria SONELGAZ, Bw. Mourad Adjal. Katika Mkutano huo, Viongozi wote…
Read MoreMheshimiwa Waziri Akipata Maelezo kutoka kwa Wenyeji wake kuhusu SONELGAZ inavyofanya kazi katika Uzalishaji na Usambazaji wa Umeme baada ya Kusikiliza Wasilisho la Shirika hilo.
Read More