News and Events Change View → Listing

MKUTANO WA MHE. BALOZI NA MWENYEKITI WA KAMPUNI YA SOPHAL

Mhe. Balozi Maj Gen (Mst) Jacob Gideon Kingu alikutana na Kufanya Mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya SOPHAL  Mkoani Oran. Kampuni ya SOPHAL ilishafika Tanzania mwezi Julai 2022 na Kukutana na Mamlaka…

Read More

ZIARA YA MHESHIMIWA BALOZI KATIKA MAABARA YA ONCOLOGY YA ORION LAB

Mhe. Balozi Maj Gen (Mst) alitembelea Maabara ya Orion Lab ya  Kuzalisha dawa za Kutibu Ugonjwa wa  Kansa iliyopo Mkoani Oran. Awali Mheshimiwa Balozi alitembelea Maabara hiyo mwezi Novemba, 2021…

Read More

Mheshimiwa Balozi akiwa katika Ziara ya Kikazi ya katika Complex ya TOSYALI ALGERIE

Mhe. Balozi Maj Gen (Mst) Jacob Gideon Kingu alifanya Ziara ya Kakazi Mkoani Oran na Kutemblea Complex ya TOSYALI. Complex hiyo ni Uwekezaji wa Kampuni ya Kituriki  ambayo imejikita katika Utengenezaji wa…

Read More

Job vacancy

L'AMBASSADE DE LA REPUBLIQUE UNIE DE TANZANIE EN ALGERIE OFFRES D'EMPLOIS POUR UNE POSTE CONTRACTUEL:SURVEILLANTE DE BUREAU (1 poste)LES QUALIFICATIONS :-Age: de 25 ansAvoir une expérience de 5…

Read More

Mheshimiwa Balozi atembelea Groupe la Belle.

Mheshimiwa Balozi akiwa katika picha ya pamoja na CEO wa Groupe la Belle katika makao makuu ya La belle.Tarehe 09 Juni 2022.La belle ni wawekezaji katika sekta uchakataji wa Bidhaa za kilimo ( nafaka, matunda…

Read More

Mheshimiwa Balozi atembelea Hospitali ya Chahid Mahmoudi

Mheshimiwa Balozi akitembelea Hospitali ya Chahid Mahmoudi katika mkoa wa Tiziouzou. Tarehe 14 Juni, 2022.

Read More

Maonesho ya Mitambo ya kutunza mazingira

Mheshimiwa Balozi alipotembelea Kampuni ya Amenhyd inayoshughulika na utengenezaji wa Mitambo ya Kusafisha Maji Taka katika Maonesho ya Utunzaji wa Mazingira mjini Algiers. Tarehe 20 Juni, 2022

Read More

Maonesho ya Sabasaba   2022

Picha ya pamoja ya Mheshimiwa Balozi akiwa na  Mheshimiwa Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Dr. ASHATU KIJAJI   pamoja na Delegation ya Wafanyabiashara  kutoka Algeria katika viwanja vya…

Read More